Star wa muziki nchini Tanzania Ali Kiba amepokea tunzo 2 kwa pamoja (Gold & Silver) kutoka kwenye mtandao wa Youtube.
Msanii huyo amefanikiwa kupata tuzo ya gold baada ya Kufikisha zaidi ya wafuasi (Subcribers) Milioni 1 Katika channel yake ya Youtube hivi karibuni.
Ali Kiba pia amepata tuzo ya Silver ikiwa ni baada ya Channel yake ya KingsMusicRecords Kufikisha Subcribers laki tano.